FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Friday

Singer: Shakira afanikiwa kujifungua mtoto wa kiume

Mwanamziki anayesifika dunia kwa kutumia kiuno chake Shakira amefanikiwa kupata wa kiume usiku wa kuamkia leo... Mzazi mwenzie akiwa ndio mtu wa kwanza kuanika habari hizi alitumia account yake ya twitter kuandika "mtoto wetu wa kiume amefanikiwa kuzaliwa... Asanteni kwa pongezi...." I just wanna congratulate them and wish all the best in their new life kama baba na mama wa mtoto huyu ambae mpaka naandika post hii hatujapata jina lake.





1 comment:

  1. Anonymous20:54

    Sakira's fiance said it was a joke, Shakira is still pregnant!!

    ReplyDelete

sema tukusikie