FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Wednesday

Lil Wayne na Chombo Kipyaaaaa.

Mwanamziki mahiri wa Rap Lil Wayne jana alidakwa na mapaparazi akiponda raha na girlfriend wake mpya ndani ya Miami Beach, Mtandao mmoja maarufu wa mastaa wa mjini marekani umesema jamaa baada ya kufika ufukweni hapo alipata nafasi ya kupiga picha na mashabiki wake na kuendelea na shughuli zake za kupunga upepo ufukweni hapo.. mpaka wakati huu naandika habari hii sijapata jina la binti huyu mchanga.


As always it feels good to love and get loved, so tusishangae kupata rumors kwamba Bi dada anamimba ya mchizi


No comments:

Post a Comment

sema tukusikie