FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Monday

Keyshia Cole afunga Ndoa na Boobie

Mwanamziki Keyshia Cole jana jioni amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Daniel "Boobie" Gibson baada ya kufunga ndoa yao hiyo walipata nafasi ya kuzunguka na helicopter ndani ya jiji la Las Vegas, baadae Boobie alitweet "Sasa imekamilika hakuna la zaidi ni Mr&Mrs Gibson, tunashukuru kwa kila dua njema mlizotuombea, leo ni usiku muhimu katika maisha yetu #sitaki maswali
Wawili hapa walivalishana pete ya uchumba january 20 na kutokana na matatizo ya hapa na pale ndoa yao ilikuwa ikipigwa kalenda mpaka siku ya jana walipokamilisha ndoto zao za kuwa mke na mume!!
Wawili hawa wamefanikiwa kupata Mtoto mmoja wa kiume aitwaye Daniel Jr.







No comments:

Post a Comment

sema tukusikie