FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Monday

Gaga "naichukia Video niliyofanya na Beyonce

Video ya Telephone ambayo aliifanya Lady gaga na Beyonce na kupata umaarufu mkubwa kwa mwaka jana imekuwa ikimkera sana lady Gaga..
Lady Gaga anasema,"siwezi hata kuitizama Video ile, naichukia kupita maelezo! mimi na Beyonce tuko Vizuri pamoja, lakini Video ile ina mambo mengi ya kipuuzi, nachokina kwa sasa ni ukosefu wa Idea za kutosha katika Video ile."

Katika video zake alizowahi kuzifanya lady Gaga anasema "Alejandro" ndio nyimbo anayoipenda video yake.. anasema anajua watu wengi wamekuwa hawaipendi video hii lakini yeye kwake ni kila kitu. alisema hayo alipokuwa akizungumza na Britain's Time Out magazine:

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie