FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Saturday

Tanzania Red Riborn Fashion Gala 2010 with Flaviana matata Raised 24mil

Our own TMH ambassador doing her thing!!You rock Flaviana matata!!
Not only Acting.... even modelling anaiweza...Hemed
Not only singing... modelling ndio imemtambulisha katika anga ya burudani!! Mwinyi Goha!!
Fashion Editor and super Model...Giver akilisasambua jukwaa
Not 0nly utangazaji...Daxx anaimiliki vyema stage......
Ubunifu zaidi ili kuleta radha ya Onyesho!!


Ikiwaani ni siku chache tangu TMH ijipatie balozi wake.. juzi usiku ilifanya halfa kubwa ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua gari la watoito, ikiwani Hafla iliyopambwa kwa onyesho kubwa la mavazi... TMH ilifanikiwa kuchangisha shilingi milioni 24.... shukrani za dhati kwa Mh.January makamba,Mh. Mo Dewji,Mwavita makamba,Sophia byanako, na wengineo kibao ambao nitakuwa napost picha zao pamoja na shukrani zetu kwao.. kwani bila wao tusingewezaa kufika hapa tulipofika....

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie