FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Monday

kihindi hind... Nani Zaidi??


Jamila (myler)


Belina(Unknown)


Giver meena(The Super)


Bibie mboni masimba!!

Sunday

Jide doing her things!!


Katika pita pita yangu wiki hii nilifanikiwa kukutana na mwanadada nguli katika muziki wa kizazi kipya... binti machozi, aka Komando ukipenda muite WATAJIJU..... alikuwa akiandaa kinywaji maalumu kwa ajili ya shughuli flani ya rafiki yake wakaribu... huyu dada anakipaji sio cha kuimba tu bali she is full packed with more!!



Hiki ni kipaji ...... sio kila mtu anaweza... ndo maana katika shughuli hii nimewekwa kamati ya ufundi......



Pombe tamu inahitaji viambatanisho mbalimbali bwana... hapa anaongezea ice in it!!

Alikuwa yupo ki India zaidi... look at her... looking great!!


Ni wakati wa kuburudika sasa.....

Saturday

Fashionable FUTURE POLICE CAR IN USA


Hapo sasa!!


take a good look!!


poa sana



You need to confortable bana


Gotcha....


Natamani kuingia jeshi la polisi USA


Side view


Kwa nyuma

How nce it is!!


front view

U just press it!!


Dah am loving this


picha kwa msaada wa my number one fan... Yunus Mwakisu.... (FASHIONISTAR)

Thursday

Answer these questions to win a ticket for the best holiday in South Africa


ANSWER THE 5 SIMPLE QUESTIONS BELOW TO WIN TICKETS TO THE WORLD CUP!!!!

This is competition of a lifetime.

Get free tickets to the FIFA world cup by answering the following 5 easy questions from the picture below.
1) Which 2 students look sleepy?
2) Which students are twins?
3) Which 2 students are girl twins?
4) How many girls in the photo?
5) Which one is the teacher?

Tuesday

I met The super Model and Best designer in dar es salaam at I-View studio


Giver herSelf in African look!!



I joined her for the Snap Shoot!!



Haka ka jamaa hakakutaka kupiga picha.... !! unataka ustaa alafu unaogopa picha?? we wa wawapi??

Let me try to smile to add taste in this pics!!


I truly love her smile... tatizo siwezi kutabasamu mimi!!

Monday

Some of them, they was wow and some Duh!!!


African dress was good on Joket.... I loved it!!



Marlaw was so smart in white....


Nywele ya bibie Lwiza mbutu niliipenda... alipendeza



Kaka yangu Kayanda alitupia ile mbaya



hair do and smile ya Jide....




kiatu na gauni vilikuwa poa kwa binti machozi







Captain aling'ara in cream...


Hii fashion ya sebo duh....!!


Hasheem alitoka fresh sana... he looked very different although alimtesa msanii wetu mmoja katika kuhug..... check picha chini




Na mimi modling... napenda sana uModling jamani... sio libeneke peke yake.

Banana amsitiri dada Yake maunda Zoro


naogopa dada magazeti ya udaku yakikuuona....



Banana we nawe unaviranga... muda wote hukuniona ndo unakuja kunifunika mbele za watu hapa

Dina ajinadi jukwaani..


Kiatu changu na gauni langu zuri jamani....Nimejipenda mpaka najiogopa!!

Dina marios(best Social Radio Presenter) zamaradi hebu tabasamu tupate picha ya mauzo pamoja...

vituko DIAMOND ndani ya Kili music awards


baada ya kutunukiwa tuzo ya kwanza...Diamond alipatwa na aibu kidogo


Akaachia smile la nguvu... mimi ni zaidi yao...


Kilio kikafuata.....



Hey!! miwani yangu mmeiona?


Mkanda wangu umeuona........???




Namalizia na kiatu changu, nimetupia jamani.....!!!

Sunday

LADY GAGA'S KILLER STYLE



She’s popped up on the music scene smashing charts, and making everyone ask one and the same question, who’s Lady GaGa?
Stefani Joanne Germanotta, 22, is a new music world sensation. She’s obviously talented. At 4 GaGa learned to play the piano by ear. By the age of 13, she had written her first piano ballad. At 14, she played open mike nights at clubs. At age 17, she was admitted to Tisch School of the Arts at NYU. By 20, she was signed to a record label and writing songs for other artists. And she released her debut album The Fame at 22.
Pretty impressive, hah?




She’s a singer, songwriter, performer and designer. She’s known for designing a lot of her outfits and is definitely famous for her unconventional style. Love or hate it, but it’s Lady GaGa.

She can walk round London with a Minnie Mouse style hair bow, she can dress a neon green leotard to go get some snack, she’s really into PVC pants and large trade-mark vantage sun glasses.
Her latest impressive outfit? Surely the one she wore on Saturday night in London. It was a (plastic?) see-through top and a white strapless bra paired with white high-waisted PVC pants.
Hot or not?


Well, I can say she’s totally genuine in everything she does and she’s not afraid to show who she is and be shocking if it’s necessary, eyebrow-raising, if it’s what she intends to achieve. She’s different. She’s out-of-space, but she keeps us on the edge of our seat to see what she does next. Isn’t it exactly what a brand new style should bring along?