FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Sorry

Hi guys? nimekuwa bussy kiaina katika purukushani za maisha Ya hapa na pale hivyo nimesafiri kidodgo kwenda ng'ambo. ndio maana nipo kimya katika blog... muda wa kuupload vitu unakuwa unakosekana..... all in all keep on visiting my blog because i have alot of suprise for u ....

3 comments:

  1. Anonymous22:28

    Kila la heri mkuu tunasubiri hizo suprise kwa hamu, mana nilikuwa nashangaa kila nikifungua sikuti mambo mapya nikawa najiuliza kulikoni? sasa nimekupata.
    Kila la Heri
    Dogo

    ReplyDelete
  2. pouwa dogo!!! am tryng to make things ryt

    ReplyDelete
  3. Anonymous03:25

    mungu akulinde na akuongoze then


    willium

    ReplyDelete

sema tukusikie