FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Sexiest divas in Tanzania

Happines magese

In her own World


Joket Mwegelo

Most talented Beauty Queen

Teddy Kalonga

Hayupo tena Dar lakini bado anawika!!

Wema Sepetu

Anakumbana na misuko suko ya maisha lakini bado anang'ara katika filamu

Judith Wambura

Millioner Singer and song writter

Maria Sarungi

She is more on producing Tv Shows and helping young girls to archive their dreams!!


Nancy sumari

Ana muonekano wakitoto zaidi! na anajua kutumia uzuri alionao katika kutimiza malengo yake

Caroline Peter

Mwanadada wa kwanza kuleta mabadiliko katika Mitindo tanzania na Sasa anaandaa Tv Series

Rita Paulsen

Throgh Benchmark she is More Than a Diva!!

Ray to the C

Ana make bingo na Soon atakuwa cover Girl katika magazine Flani Flani

Jacline mafuru

Anamiliki Saloon na duka la nguo Maarufu kama pina collada!

Irene Ndikumanya

Hot Hot!!

Miriam odemba

She is more than a model!!


Irene mtoto wa kiwia!!

Yupo zaidi Katika kusaka mahela!!

Lisa Jensen

Baada ya urembo amejikita zaidi katika Filamu!!

Maimartha Jesse

Mwana Afro beat anayetikisa Jiji kwa Kung'ara zaidi katika luninga!!

4 comments:

  1. Anonymous16:44

    wajameni wewe kuna watu umewaweka huku wabaya hakuana u sexy , wala u beauty wala nini..wema sepetu (ugly), judith wambura (very ugly), maria sarungi (too old, au sababu half cast), irine ndu-kuma-ngi (too fat),irine kiwia (ugly)....
    where is klynn na wasichana wengine ambao ni tru divas??

    ReplyDelete
  2. WOTE WAPO POA 2 HUYO ANAWIVU NA HAO WA2 BY IMMACULATE DUNSTAN

    ReplyDelete
  3. Anonymous07:50

    Wote wapo poa katika PICHA hizi! But some are not SEXY at all in real Life!

    ReplyDelete

sema tukusikie